1 בְּנֵ֖י Wana–wa לֵוִ֑י Lawi גֵּרְשׁ֕וֹן Gershoni קְהָ֖ת Kohathi וּמְרָרִֽי׃ na–Merari
Wana wa Lawi walikuwa: Gershoni, Kohathi na Merari.
2 וּבְנֵ֖י Na–wana–wa קְהָ֑ת Kohathi עַמְרָ֣ם Amramu יִצְהָ֔ר Ishari וְחֶבְר֖וֹן na–Hebroni וְעֻזִּיאֵֽל׃ na–Uzieli ס ¶
Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.
3 וּבְנֵ֣י Na–wana–wa עַמְרָ֔ם Amramu אַהֲרֹ֥ן Haruni וּמֹשֶׁ֖ה na–Musa וּמִרְיָ֑ם na–Miriamu ס ¶ וּבְנֵ֣י na–wana–wa אַהֲרֹ֔ן Haruni נָדָב֙ Nadabu וַאֲבִיה֔וּא na–Abihu אֶלְעָזָ֖ר Eleazari וְאִיתָמָֽר׃ na–Ithamari ס ¶
Amramu alikuwa na wana: Aroni, Mose, na Miriamu. Aroni alikuwa na wana: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
4 אֶלְעָזָר֙ Eleazari הוֹלִ֣יד alizaa אֶת־ — פִּֽינְחָ֔ס Finehasi פִּֽינְחָ֖ס Finehasi הֹלִ֥יד alizaa אֶת־ — אֲבִישֽׁוּעַ׃ Abishua
Eleazari akamzaa Finehasi, Finehasi akamzaa Abishua,
5 וַאֲבִישׁ֙וּעַ֙ Na–Abishua הוֹלִ֣יד alizaa אֶת־ — בֻּקִּ֔י Buki וּבֻקִּ֖י na–Buki הוֹלִ֥יד alizaa אֶת־ — עֻזִּֽי׃ Uzi
Abishua akamzaa Buki, Buki akamzaa Uzi,
6 וְעֻזִּי֙ Na–Uzi הוֹלִ֣יד alizaa אֶת־ — זְרַֽחְיָ֔ה Zerahia וּֽזְרַֽחְיָ֖ה na–Zerahia הוֹלִ֥יד alizaa אֶת־ — מְרָיֽוֹת׃ Merayothi
Uzi akamzaa Zerahia, Zerahia akamzaa Merayothi,
7 מְרָיוֹת֙ Merayothi הוֹלִ֣יד alizaa אֶת־ — אֲמַרְיָ֔ה Amaria וַאֲמַרְיָ֖ה na–Amaria הוֹלִ֥יד alizaa אֶת־ — אֲחִיטֽוּב׃ Ahitubu
Merayothi akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
8 וַאֲחִיטוּב֙ Na–Ahitubu הוֹלִ֣יד alizaa אֶת־ — צָד֔וֹק Sadoki וְצָד֖וֹק na–Sadoki הוֹלִ֥יד alizaa אֶת־ — אֲחִימָֽעַץ׃ Ahimaasi
Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Ahimaasi,
9 וַאֲחִימַ֙עַץ֙ Na–Ahimaasi הוֹלִ֣יד alizaa אֶת־ — עֲזַרְיָ֔ה Azaria וַעֲזַרְיָ֖ה na–Azaria הוֹלִ֥יד alizaa אֶת־ — יוֹחָנָֽן׃ Yohanani
Ahimaasi akamzaa Azaria, Azaria akamzaa Yohanani,
10 וְיוֹחָנָ֖ן Na–Yohanani הוֹלִ֣יד alizaa אֶת־ — עֲזַרְיָ֑ה Azaria ה֚וּא yeye אֲשֶׁ֣ר ambaye כִּהֵ֔ן alihudumu–kama–kuhani בַּבַּ֕יִת katika–nyumba אֲשֶׁר־ ambayo– בָּנָ֥ה alijenga שְׁלֹמֹ֖ה Solomoni בִּירוּשָׁלִָֽם׃ huko–Yerusalemu
Yohanani akamzaa Azaria (ndiye alifanya kazi ya ukuhani katika Hekalu alilojenga Mfalme Solomoni huko Yerusalemu),
11 וַיּ֥וֹלֶד Na–alizaa עֲזַרְיָ֖ה Azaria אֶת־ — אֲמַרְיָ֑ה Amaria וַאֲמַרְיָ֖ה na–Amaria הוֹלִ֥יד alizaa אֶת־ — אֲחִיטֽוּב׃ Ahitubu
Azaria akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
12 וַאֲחִיטוּב֙ Na–Ahitubu הוֹלִ֣יד alizaa אֶת־ — צָד֔וֹק Sadoki וְצָד֖וֹק na–Sadoki הוֹלִ֥יד alizaa אֶת־ — שַׁלּֽוּם׃ Shalumu
Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Shalumu,
13 וְשַׁלּוּם֙ Na–Shalumu הוֹלִ֣יד alizaa אֶת־ — חִלְקִיָּ֔ה Hilkia וְחִלְקִיָּ֖ה na–Hilkia הוֹלִ֥יד alizaa אֶת־ — עֲזַרְיָֽה׃ Azaria
Shalumu akamzaa Hilkia, Hilkia akamzaa Azaria,
14 וַעֲזַרְיָה֙ Na–Azaria הוֹלִ֣יד alizaa אֶת־ — שְׂרָיָ֔ה Seraya וּשְׂרָיָ֖ה na–Seraya הוֹלִ֥יד alizaa אֶת־ — יְהוֹצָדָֽק׃ Yehosadaki
Azaria akamzaa Seraya, Seraya akamzaa Yehosadaki.
15 וִיהוֹצָדָ֣ק Na–Yehosadaki הָלַ֔ךְ alikwenda בְּהַגְל֣וֹת alipowapeleka–uhamishoni יְהוָ֔ה Yahwe אֶת־ — יְהוּדָ֖ה Yuda וִירוּשָׁלִָ֑ם na–Yerusalemu בְּיַ֖ד kwa–mkono–wa נְבֻכַדְנֶאצַּֽר׃ Nebukadneza ס ¶
Yehosadaki alihamishwa wakati Bwana aliwapeleka uhamishoni watu wa Yuda na Yerusalemu kwa mkono wa Mfalme Nebukadneza.
16 בְּנֵ֖י Wana–wa לֵוִ֑י Lawi גֵּרְשֹׁ֕ם Gershomu קְהָ֖ת Kohathi וּמְרָרִֽי׃ na–Merari
Wana wa Lawi walikuwa: Gershoni, Kohathi na Merari.
17 וְאֵ֛לֶּה Na–haya שְׁמ֥וֹת majina–ya בְּֽנֵי־ wana–wa– גֵרְשׁ֖וֹם Gershomu לִבְנִ֥י Libni וְשִׁמְעִֽי׃ na–Shimei
Haya ndiyo majina ya wana wa Gershoni: Libni na Shimei.
18 וּבְנֵ֖י Na–wana–wa קְהָ֑ת Kohathi עַמְרָ֣ם Amramu וְיִצְהָ֔ר na–Ishari וְחֶבְר֖וֹן na–Hebroni וְעֻזִּיאֵֽל׃ na–Uzieli
Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.
19 בְּנֵ֥י Wana–wa מְרָרִ֖י Merari מַחְלִ֣י Mahli וּמֻשִׁ֑י na–Mushi וְאֵ֛לֶּה na–hizi מִשְׁפְּח֥וֹת jamaa–za הַלֵּוִ֖י Walawi לַאֲבוֹתֵיהֶֽם׃ kwa–baba–zao
Wana wa Merari walikuwa: Mahli na Mushi. Zifuatazo ni koo za Walawi zilizoorodheshwa kufuatana na baba zao:
20 לְֽגֵרְשׁ֑וֹם Kwa–Gershomu לִבְנִ֥י Libni בְנ֛וֹ mwanawe יַ֥חַת Yahathi בְּנ֖וֹ mwanawe זִמָּ֥ה Zima בְנֽוֹ׃ mwanawe
Wazao wa Gershoni: Gershoni akamzaa Libni, Libni akamzaa Yahathi, Yahathi akamzaa Zima,
21 יוֹאָ֤ח Yoa בְּנוֹ֙ mwanawe עִדּ֣וֹ Ido בְנ֔וֹ mwanawe זֶ֥רַח Zera בְּנ֖וֹ mwanawe יְאָתְרַ֥י Yeathrai בְּנֽוֹ׃ mwanawe
Zima akamzaa Yoa, Yoa akamzaa Ido, Ido akamzaa Zera, Zera akamzaa Yeatherai.
22 בְּנֵ֖י Wana–wa קְהָ֑ת Kohathi עַמִּינָדָ֣ב Aminadabu בְּנ֔וֹ mwanawe קֹ֥רַח Kora בְּנ֖וֹ mwanawe אַסִּ֥יר Asiri בְּנֽוֹ׃ mwanawe
Wazao wa Kohathi: Kohathi akamzaa Aminadabu, Aminadabu akamzaa Kora, Kora akamzaa Asiri,
23 אֶלְקָנָ֥ה Elkana בְנ֛וֹ mwanawe וְאֶבְיָסָ֥ף na–Ebiasafu בְּנ֖וֹ mwanawe וְאַסִּ֥יר na–Asiri בְּנֽוֹ׃ mwanawe
Asiri akamzaa Elikana, Elikana akamzaa Ebiasafu, Ebiasafu akamzaa Asiri,
24 תַּ֤חַת Tahathi בְּנוֹ֙ mwanawe אוּרִיאֵ֣ל Urieli בְּנ֔וֹ mwanawe עֻזִּיָּ֥ה Uzia בְנ֖וֹ mwanawe וְשָׁא֥וּל na–Shauli בְּנֽוֹ׃ mwanawe
Asiri akamzaa Tahathi, Tahathi akamzaa Urieli, Urieli akamzaa Uzia, Uzia akamzaa Shauli.
25 וּבְנֵי֙ Na–wana–wa אֶלְקָנָ֔ה Elkana עֲמָשַׂ֖י Amasai וַאֲחִימֽוֹת׃ na–Ahimothi
Wazao wa Elikana walikuwa: Amasai na Ahimothi,
26 אֶלְקָנָ֑ה Elkana [בנו] [mwanawe] (בְּנֵי֙) (wana–wa) אֶלְקָנָ֔ה Elkana צוֹפַ֥י Sofai בְּנ֖וֹ mwanawe וְנַ֥חַת na–Nahathi בְּנֽוֹ׃ mwanawe
Ahimothi akamzaa Elikana, Elikana akamzaa Sofai, Sofai akamzaa Nahathi,
27 אֱלִיאָ֥ב Eliabu בְּנ֛וֹ mwanawe יְרֹחָ֥ם Yerohamu בְּנ֖וֹ mwanawe אֶלְקָנָ֥ה Elkana בְנֽוֹ׃ mwanawe
Nahathi akamzaa Eliabu, Eliabu akamzaa Yerohamu, Yerohamu akamzaa Elikana, Elikana akamzaa Samweli.
28 וּבְנֵ֧י Na–wana–wa שְׁמוּאֵ֛ל Samweli הַבְּכֹ֥ר mzaliwa–wa–kwanza וַשְׁנִ֖י Washni וַאֲבִיָּֽה׃ na–Abiya ס ¶
Wana wa Samweli walikuwa: Yoeli mzaliwa wake wa kwanza, na Abiya mwanawe wa pili.
29 בְּנֵ֥י Wana–wa מְרָרִ֖י Merari מַחְלִ֑י Mahli לִבְנִ֥י Libni בְנ֛וֹ mwanawe שִׁמְעִ֥י Shimei בְנ֖וֹ mwanawe עֻזָּ֥ה Uza בְנֽוֹ׃ mwanawe
Wafuatao ndio wazao wa Merari: Merari akamzaa Mahli, Mahli akamzaa Libni, Libni akamzaa Shimei, Shimei akamzaa Uza,
30 שִׁמְעָ֥א Shimea בְנ֛וֹ mwanawe חַגִּיָּ֥ה Hagia בְנ֖וֹ mwanawe עֲשָׂיָ֥ה Asaya בְנֽוֹ׃ mwanawe פ ¶
Uza akamzaa Shimea, Shimea akamzaa Hagia, Hagia akamzaa Asaya.
31 וְאֵ֗לֶּה Na–hawa אֲשֶׁ֨ר ambao הֶעֱמִ֥יד aliwaweka דָּוִ֛יד Daudi עַל־ juu–ya– יְדֵי־ huduma–ya– שִׁ֖יר wimbo בֵּ֣ית nyumba–ya יְהוָ֑ה Yahwe מִמְּנ֖וֹחַ kutoka–pumziko–la הָאָרֽוֹן׃ sanduku
Hawa ndio watu ambao Daudi aliwaweka kuwa viongozi wa uimbaji katika nyumba ya Bwana, baada ya Sanduku la Agano kuletwa ili kukaa huko.
32 וַיִּהְי֨וּ Na–walikuwa מְשָׁרְתִ֜ים wakihudumu לִפְנֵ֨י mbele–ya מִשְׁכַּ֤ן maskani–ya אֹֽהֶל־ hema–la– מוֹעֵד֙ kukutana בַּשִּׁ֔יר kwa–wimbo עַד־ hadi– בְּנ֧וֹת alipojenga שְׁלֹמֹ֛ה Solomoni אֶת־ — בֵּ֥ית nyumba–ya יְהוָ֖ה Yahwe בִּירוּשָׁלִָ֑ם huko–Yerusalemu וַיַּעַמְד֥וּ na–wakasimama כְמִשְׁפָּטָ֖ם kwa–utaratibu–wao עַל־ katika– עֲבוֹדָתָֽם׃ huduma–yao
Walihudumu kwa kuimba mbele ya Maskani, Hema la Kukutania, mpaka hapo Mfalme Solomoni alipojenga Hekalu la Bwana huko Yerusalemu. Walitimiza wajibu wao kulingana na taratibu walizokuwa wamewekewa.
33 וְאֵ֥לֶּה Na–hawa הָעֹמְדִ֖ים waliosimama וּבְנֵיהֶ֑ם na–wana–wao מִבְּנֵי֙ kutoka–wana–wa הַקְּהָתִ֔י Wakohathi הֵימָן֙ Hemani הַמְשׁוֹרֵ֔ר mwimbaji בֶּן־ mwana–wa– יוֹאֵ֖ל Yoeli בֶּן־ mwana–wa– שְׁמוּאֵֽל׃ Samweli
Wafuatao ni watu waliohudumu pamoja na wana wao: Kutoka ukoo wa Kohathi walikuwa: Hemani, mpiga kinanda, alikuwa mwana wa Yoeli, mwana wa Samweli,
34 בֶּן־ mwana–wa– אֶלְקָנָה֙ Elkana בֶּן־ mwana–wa– יְרֹחָ֔ם Yerohamu בֶּן־ mwana–wa– אֱלִיאֵ֖ל Elieli בֶּן־ mwana–wa– תּֽוֹחַ׃ Toa
mwana wa Elikana, mwana wa Yerohamu, mwana wa Elieli, mwana wa Toa,
35 בֶּן־ mwana–wa– [ציף] [Sifu] (צוּף֙) (Sufu) בֶּן־ mwana–wa– אֶלְקָנָ֔ה Elkana בֶּן־ mwana–wa– מַ֖חַת Mahathi בֶּן־ mwana–wa– עֲמָשָֽׂי׃ Amasai
mwana wa Sufu, mwana wa Elikana, mwana wa Mahathi, mwana wa Amasai,
36 בֶּן־ mwana–wa– אֶלְקָנָה֙ Elkana בֶּן־ mwana–wa– יוֹאֵ֔ל Yoeli בֶּן־ mwana–wa– עֲזַרְיָ֖ה Azaria בֶּן־ mwana–wa– צְפַנְיָֽה׃ Sefania
mwana wa Elikana, mwana wa Yoeli, mwana wa Azaria, mwana wa Sefania,
37 בֶּן־ mwana–wa– תַּ֙חַת֙ Tahathi בֶּן־ mwana–wa– אַסִּ֔יר Asiri בֶּן־ mwana–wa– אֶבְיָסָ֖ף Ebiasafu בֶּן־ mwana–wa– קֹֽרַח׃ Kora
mwana wa Tahathi, mwana wa Asiri, mwana wa Ebiasafu, mwana wa Kora,
38 בֶּן־ mwana–wa– יִצְהָ֣ר Ishari בֶּן־ mwana–wa– קְהָ֔ת Kohathi בֶּן־ mwana–wa– לֵוִ֖י Lawi בֶּן־ mwana–wa– יִשְׂרָאֵֽל׃ Israeli
mwana wa Ishari, mwana wa Kohathi, mwana wa Lawi, mwana wa Israeli;
39 וְאָחִ֣יו Na–ndugu–yake אָסָ֔ף Asafu הָעֹמֵ֖ד aliyesimama עַל־ upande–wa– יְמִינ֑וֹ kuume–kwake אָסָ֥ף Asafu בֶּן־ mwana–wa– בֶּרֶכְיָ֖הוּ Berekia בֶּן־ mwana–wa– שִׁמְעָֽא׃ Shimea
na msaidizi wa Hemani alikuwa Asafu, aliyesimama mkono wa kuume: Asafu mwana wa Berekia, mwana wa Shimea,
40 בֶּן־ mwana–wa– מִיכָאֵ֥ל Mikaeli בֶּן־ mwana–wa– בַּעֲשֵׂיָ֖ה Baaseya בֶּן־ mwana–wa– מַלְכִּיָּֽה׃ Malkiya
mwana wa Mikaeli, mwana wa Baaseya, mwana wa Malkiya,
41 בֶּן־ mwana–wa– אֶתְנִ֥י Ethni בֶן־ mwana–wa– זֶ֖רַח Zera בֶּן־ mwana–wa– עֲדָיָֽה׃ Adaya
mwana wa Ethni, mwana wa Zera, mwana wa Adaya,
42 בֶּן־ mwana–wa– אֵיתָ֥ן Ethani בֶּן־ mwana–wa– זִמָּ֖ה Zima בֶּן־ mwana–wa– שִׁמְעִֽי׃ Shimei
mwana wa Ethani, mwana wa Zima, mwana wa Shimei,
43 בֶּן־ mwana–wa– יַ֥חַת Yahathi בֶּן־ mwana–wa– גֵּרְשֹׁ֖ם Gershomu בֶּן־ mwana–wa– לֵוִֽי׃ Lawi ס ¶
mwana wa Yahathi, mwana wa Gershoni, mwana wa Lawi.
44 וּבְנֵ֧י Na–wana–wa מְרָרִ֛י Merari אֲחֵיהֶ֖ם ndugu–zao עַֽל־ upande–wa– הַשְּׂמֹ֑אול kushoto אֵיתָן֙ Ethani בֶּן־ mwana–wa– קִישִׁ֔י Kishi בֶּן־ mwana–wa– עַבְדִּ֖י Abdi בֶּן־ mwana–wa– מַלּֽוּךְ׃ Maluki
Na kutoka kwa walioshirikiana nao, Wamerari, mkono wake wa kushoto: Ethani mwana wa Kishi, mwana wa Abdi, mwana wa Maluki,
45 בֶּן־ mwana–wa– חֲשַׁבְיָ֥ה Hashabia בֶן־ mwana–wa– אֲמַצְיָ֖ה Amasia בֶּן־ mwana–wa– חִלְקִיָּֽה׃ Hilkia
mwana wa Hashabia, mwana wa Amazia, mwana wa Hilkia,
46 בֶּן־ mwana–wa– אַמְצִ֥י Amsi בֶן־ mwana–wa– בָּנִ֖י Bani בֶּן־ mwana–wa– שָֽׁמֶר׃ Shemeri
mwana wa Amsi, mwana wa Bani, mwana wa Shemeri,
47 בֶּן־ mwana–wa– מַחְלִי֙ Mahli בֶּן־ mwana–wa– מוּשִׁ֔י Mushi בֶּן־ mwana–wa– מְרָרִ֖י Merari בֶּן־ mwana–wa– לֵוִֽי׃ Lawi ס ¶
mwana wa Mahli, mwana wa Mushi, mwana wa Merari, mwana wa Lawi.
48 וַאֲחֵיהֶ֖ם Na–ndugu–zao הַלְוִיִּ֑ם Walawi נְתוּנִ֕ים walitolewa לְכָ֨ל־ kwa–yote– עֲבוֹדַ֔ת huduma–ya מִשְׁכַּ֖ן maskani–ya בֵּ֥ית nyumba–ya הָאֱלֹהִֽים׃ Mungu
Ndugu zao wengine Walawi walipewa huduma nyingine za kuhudumia hema takatifu, nyumba ya Mungu.
49 וְֽאַהֲרֹ֨ן Na–Haruni וּבָנָ֜יו na–wanawe מַקְטִירִ֨ים walifukiza עַל־ juu–ya– מִזְבַּ֤ח madhabahu–ya הָֽעוֹלָה֙ sadaka–ya–kuteketezwa וְעַל־ na–juu–ya– מִזְבַּ֣ח madhabahu–ya הַקְּטֹ֔רֶת uvumba לְכֹ֕ל kwa–yote מְלֶ֖אכֶת kazi–ya קֹ֣דֶשׁ patakatifu הַקֳּדָשִׁ֑ים pa–patakatifu וּלְכַפֵּר֙ na–kufanya–upatanisho עַל־ kwa–ajili–ya– יִשְׂרָאֵ֔ל Israeli כְּכֹל֙ kwa–yote אֲשֶׁ֣ר ambayo צִוָּ֔ה aliamuru מֹשֶׁ֖ה Musa עֶ֥בֶד mtumishi הָאֱלֹהִֽים׃ wa–Mungu פ ¶
Lakini Aroni na uzao wake ndio waliokuwa na wajibu wa kutoa sadaka katika madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa na kwenye madhabahu ya kufukizia uvumba pamoja na yote yaliyofanyika pa Patakatifu, wakifanya upatanisho kwa ajili ya Israeli, sawasawa na yale yote aliyoagiza Mose mtumishi wa Mungu.
50 וְאֵ֖לֶּה Na–hawa בְּנֵ֣י wana–wa אַהֲרֹ֑ן Haruni אֶלְעָזָ֥ר Eleazari בְּנ֛וֹ mwanawe פִּֽינְחָ֥ס Finehasi בְּנ֖וֹ mwanawe אֲבִישׁ֥וּעַ Abishua בְּנֽוֹ׃ mwanawe
Hawa ndio waliokuwa wazao wa Aroni: Aroni akamzaa Eleazari, Eleazari akamzaa Finehasi, Finehasi akamzaa Abishua,
51 בֻּקִּ֥י Buki בְנ֛וֹ mwanawe עֻזִּ֥י Uzi בְנ֖וֹ mwanawe זְרַֽחְיָ֥ה Zerahia בְנֽוֹ׃ mwanawe
Abishua akamzaa Buki, Buki akamzaa Uzi, Uzi akamzaa Zerahia,
52 מְרָי֥וֹת Merayothi בְּנ֛וֹ mwanawe אֲמַרְיָ֥ה Amaria בְנ֖וֹ mwanawe אֲחִיט֥וּב Ahitubu בְּנֽוֹ׃ mwanawe
Zerahia akamzaa Merayothi, Merayothi akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
53 צָד֥וֹק Sadoki בְּנ֖וֹ mwanawe אֲחִימַ֥עַץ Ahimaasi בְּנֽוֹ׃ mwanawe ס ¶
Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Ahimaasi.
54 וְאֵ֙לֶּה֙ Na–hizi מוֹשְׁבוֹתָ֔ם makazi–yao לְטִירוֹתָ֖ם kwa–kambi–zao בִּגְבוּלָ֑ם katika–mipaka–yao לִבְנֵ֤י kwa–wana–wa אַהֲרֹן֙ Haruni לְמִשְׁפַּחַ֣ת kwa–jamaa–ya הַקְּהָתִ֔י Wakohathi כִּ֥י kwa–sababu לָהֶ֖ם kwao הָיָ֥ה ilikuwa הַגּוֹרָֽל׃ kura
Zifuatazo ni sehemu walizopewa ziwe nchi yao kwa ajili ya makazi yao (walipewa wazao wa Aroni waliotoka katika ukoo wa Wakohathi, kwa sababu kura ya kwanza iliwaangukia):
55 וַֽיִּתְּנ֥וּ Na–wakawapa לָהֶ֛ם wao אֶת־ — חֶבְר֖וֹן Hebroni בְּאֶ֣רֶץ katika–nchi–ya יְהוּדָ֑ה Yuda וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶׁ֖יהָ malisho–yake סְבִיבֹתֶֽיהָ׃ yanayoizunguka
Walipewa Hebroni katika nchi ya Yuda pamoja na sehemu ya malisho inayouzunguka.
56 וְאֶת־ Na–— שְׂדֵ֥ה mashamba–ya הָעִ֖יר mji וְאֶת־ na–— חֲצֵרֶ֑יהָ vijiji–vyake נָתְנ֖וּ walimpa לְכָלֵ֥ב Kalebu בֶּן־ mwana–wa– יְפֻנֶּֽה׃ Yefune ס ¶
Lakini mashamba pamoja na vijiji vilivyouzunguka mji alipewa Kalebu mwana wa Yefune.
57 וְלִבְנֵ֣י Na–kwa–wana–wa אַהֲרֹ֗ן Haruni נָתְנוּ֙ walitoa אֶת־ — עָרֵ֣י miji–ya הַמִּקְלָ֔ט makimbilio אֶת־ — חֶבְר֥וֹן Hebroni וְאֶת־ na–— לִבְנָ֖ה Libna וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶׁ֑יהָ malisho–yake וְאֶת־ na–— יַתִּ֥ר Yatiri וְאֶֽת־ na–— אֶשְׁתְּמֹ֖עַ Eshtemoa וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶֽׁיהָ׃ malisho–yake
Kwa hiyo wazao wa Aroni walipewa miji ifuatayo pamoja na eneo la malisho: Hebroni (mji wa makimbilio), Libna, Yatiri, Eshtemoa,
58 וְאֶת־ na–— חִילֵז֙ Hileni וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶׁ֔יהָ malisho–yake אֶת־ — דְּבִ֖יר Debiri וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶֽׁיהָ׃ malisho–yake
Hileni, Debiri,
59 וְאֶת־ na–— עָשָׁן֙ Ashani וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶׁ֔יהָ malisho–yake וְאֶת־ na–— בֵּ֥ית שֶׁ֖מֶשׁ Beth-Shemeshi וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶֽׁיהָ׃ malisho–yake ס ¶
Ashani, Yuta na Beth-Shemeshi pamoja na maeneo yake ya malisho.
60 וּמִמַּטֵּ֣ה Na–kutoka–kabila–la בִנְיָמִ֗ן Benyamini אֶת־ — גֶּ֤בַע Geba וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶׁ֙יהָ֙ malisho–yake וְאֶת־ na–— עָלֶ֣מֶת Alemethi וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶׁ֔יהָ malisho–yake וְאֶת־ na–— עֲנָת֖וֹת Anathothi וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶׁ֑יהָ malisho–yake כָּל־ miji–yote– עָרֵיהֶ֛ם yao שְׁלֹשׁ־ kumi– עֶשְׂרֵ֥ה na–tatu עִ֖יר mji בְּמִשְׁפְּחוֹתֵיהֶֽם׃ kwa–jamaa–zao ס ¶
Kutoka kabila la Benyamini walipewa Gibeoni, Geba, Alemethi na Anathothi, pamoja na maeneo yake ya malisho. Miji hii kumi na mitatu iligawanywa miongoni mwa koo za Wakohathi.
61 וְלִבְנֵ֨י Na–kwa–wana–wa קְהָ֜ת Kohathi הַנּוֹתָרִ֗ים waliobaki מִמִּשְׁפַּ֣חַת kutoka–jamaa–ya הַמַּטֶּ֡ה kabila מִֽ֠מַּחֲצִית kutoka–nusu–ya מַטֵּ֨ה kabila–la חֲצִ֧י nusu מְנַשֶּׁ֛ה ya–Manase בַּגּוֹרָ֖ל kwa–kura עָרִ֥ים miji עָֽשֶׂר׃ kumi ס ¶
Wazao waliobaki wa Wakohathi walipewa miji kumi kutoka koo za nusu ya kabila la Manase.
62 וְלִבְנֵ֨י Na–kwa–wana–wa גֵרְשׁ֜וֹם Gershomu לְמִשְׁפְּחוֹתָ֗ם kwa–jamaa–zao מִמַּטֵּ֣ה kutoka–kabila–la יִ֠שָׂשכָר Isakari וּמִמַּטֵּ֨ה na–kutoka–kabila–la אָשֵׁ֜ר Asheri וּמִמַּטֵּ֣ה na–kutoka–kabila–la נַפְתָּלִ֗י Naftali וּמִמַּטֵּ֤ה na–kutoka–kabila–la מְנַשֶּׁה֙ Manase בַּבָּשָׁ֔ן huko–Bashani עָרִ֖ים miji שְׁלֹ֥שׁ kumi עֶשְׂרֵֽה׃ na–tatu ס ¶
Wazao wa Gershoni, ukoo kwa ukoo, walipewa miji kumi na mitatu kutoka kwa makabila ya Isakari, Asheri na Naftali kutoka sehemu ya kabila la Manase huko Bashani.
63 לִבְנֵ֨י Kwa–wana–wa מְרָרִ֜י Merari לְמִשְׁפְּחוֹתָ֗ם kwa–jamaa–zao מִמַּטֵּ֣ה kutoka–kabila–la רְ֠אוּבֵן Reubeni וּֽמִמַּטֵּה־ na–kutoka–kabila–la– גָ֞ד Gadi וּמִמַּטֵּ֤ה na–kutoka–kabila–la זְבוּלֻן֙ Zabuloni בַּגּוֹרָ֔ל kwa–kura עָרִ֖ים miji שְׁתֵּ֥ים kumi עֶשְׂרֵֽה׃ na–mbili
Wazao wa Merari, ukoo kwa ukoo walipewa miji kumi na miwili kutoka makabila ya Reubeni, Gadi na Zabuloni.
64 וַיִּתְּנ֥וּ Na–wakatoa בְנֵי־ wana–wa– יִשְׂרָאֵ֖ל Israeli לַלְוִיִּ֑ם kwa–Walawi אֶת־ — הֶעָרִ֖ים miji וְאֶת־ na–— מִגְרְשֵׁיהֶֽם׃ malisho–yake
Kwa hiyo Waisraeli waliwapa Walawi miji hii pamoja na maeneo yake ya malisho.
65 וַיִּתְּנ֣וּ Na–wakatoa בַגּוֹרָ֗ל kwa–kura מִמַּטֵּ֤ה kutoka–kabila–la בְנֵי־ wana–wa– יְהוּדָה֙ Yuda וּמִמַּטֵּ֣ה na–kutoka–kabila–la בְנֵי־ wana–wa– שִׁמְע֔וֹן Simeoni וּמִמַּטֵּ֖ה na–kutoka–kabila–la בְּנֵ֣י wana–wa בִנְיָמִ֑ן Benyamini אֵ֚ת — הֶעָרִ֣ים miji הָאֵ֔לֶּה hii אֲשֶׁר־ ambayo– יִקְרְא֥וּ waliita אֶתְהֶ֖ם wao בְּשֵׁמֽוֹת׃ kwa–majina ס ¶
Kutoka makabila ya Yuda, Simeoni na Benyamini walipewa miji iliyotajwa hapo juu.
66 וּמִֽמִּשְׁפְּח֖וֹת Na–kutoka–jamaa–za בְּנֵ֣י wana–wa קְהָ֑ת Kohathi וַיְהִי֙ na–wakawa עָרֵ֣י miji–ya גְבוּלָ֔ם mipaka–yao מִמַּטֵּ֖ה kutoka–kabila–la אֶפְרָֽיִם׃ Efraimu
Baadhi ya koo za Wakohathi walipewa kama nchi yao miji kutoka kabila la Efraimu.
67 וַיִּתְּנ֨וּ Na–wakawapa לָהֶ֜ם wao אֶת־ — עָרֵ֧י miji–ya הַמִּקְלָ֛ט makimbilio אֶת־ — שְׁכֶ֥ם Shekemu וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶׁ֖יהָ malisho–yake בְּהַ֣ר katika–mlima–wa אֶפְרָ֑יִם Efraimu וְאֶת־ na–— גֶּ֖זֶר Gezeri וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶֽׁיהָ׃ malisho–yake
Katika nchi ya vilima ya Efraimu walipewa Shekemu (mji wa makimbilio) na Gezeri,
68 וְאֶֽת־ na–— יָקְמְעָם֙ Yokmeamu וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶׁ֔יהָ malisho–yake וְאֶת־ na–— בֵּ֥ית חוֹר֖וֹן Beth-Horoni וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶֽׁיהָ׃ malisho–yake
Yokmeamu, Beth-Horoni,
69 וְאֶת־ na–— אַיָּלוֹן֙ Aiyaloni וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶׁ֔יהָ malisho–yake וְאֶת־ na–— גַּת־רִמּ֖וֹן Gath-Rimoni וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶֽׁיהָ׃ malisho–yake פ ¶
Aiyaloni na Gath-Rimoni, pamoja na maeneo yake ya malisho.
70 וּמִֽמַּחֲצִית֙ Na–kutoka–nusu–ya מַטֵּ֣ה kabila–la מְנַשֶּׁ֔ה Manase אֶת־ — עָנֵר֙ Aneri וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶׁ֔יהָ malisho–yake וְאֶת־ na–— בִּלְעָ֖ם Bileamu וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶׁ֑יהָ malisho–yake לְמִשְׁפַּ֥חַת kwa–jamaa–ya לִבְנֵי־ wana–wa– קְהָ֖ת Kohathi הַנּוֹתָרִֽים׃ waliobaki פ ¶
Kutoka nusu ya kabila la Manase, Waisraeli waliwapa koo za Wakohathi waliobaki miji ya Aneri na Bileamu pamoja na maeneo yake ya malisho.
71 לִבְנֵי֮ Kwa–wana–wa גֵּרְשׁוֹם֒ Gershomu מִמִּשְׁפַּ֗חַת kutoka–jamaa–ya חֲצִי֙ nusu מַטֵּ֣ה ya–kabila–la מְנַשֶּׁ֔ה Manase אֶת־ — גּוֹלָ֥ן Golani בַּבָּשָׁ֖ן huko–Bashani וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶׁ֑יהָ malisho–yake וְאֶת־ na–— עַשְׁתָּר֖וֹת Ashtarothi וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶֽׁיהָ׃ malisho–yake ס ¶
Wagershoni walipokea miji ifuatayo pamoja na maeneo yake ya malisho: Katika nusu ya kabila la Manase: walipewa Golani katika Bashani na pia Ashtarothi.
72 וּמִמַּטֵּ֣ה Na–kutoka–kabila–la יִשָׂשכָ֔ר Isakari אֶת־ — קֶ֖דֶשׁ Kedeshi וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶׁ֑יהָ malisho–yake אֶת־ — דָּבְרַ֖ת Daberathi וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶֽׁיהָ׃ malisho–yake
Kutoka kabila la Isakari walipokea Kedeshi, Daberathi,
73 וְאֶת־ na–— רָאמוֹת֙ Ramothi וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶׁ֔יהָ malisho–yake וְאֶת־ na–— עָנֵ֖ם Anemu וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶֽׁיהָ׃ malisho–yake ס ¶
Ramothi na Anemu, pamoja na maeneo yake ya malisho.
74 וּמִמַּטֵּ֣ה Na–kutoka–kabila–la אָשֵׁ֔ר Asheri אֶת־ — מָשָׁ֖ל Mashali וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶׁ֑יהָ malisho–yake וְאֶת־ na–— עַבְדּ֖וֹן Abdoni וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶֽׁיהָ׃ malisho–yake
Kutoka kabila la Asheri walipokea Mashali, Abdoni,
75 וְאֶת־ na–— חוּקֹק֙ Hukoki וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶׁ֔יהָ malisho–yake וְאֶת־ na–— רְחֹ֖ב Rehobu וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶֽׁיהָ׃ malisho–yake
Hukoki na Rehobu, pamoja na maeneo yake ya malisho.
76 וּמִמַּטֵּ֣ה Na–kutoka–kabila–la נַפְתָּלִ֗י Naftali אֶת־ — קֶ֤דֶשׁ Kedeshi בַּגָּלִיל֙ huko–Galilaya וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶׁ֔יהָ malisho–yake וְאֶת־ na–— חַמּ֖וֹן Hamoni וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶׁ֑יהָ malisho–yake וְאֶת־ na–— קִרְיָתַ֖יִם Kiriathaimu וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶֽׁיהָ׃ malisho–yake ס ¶
Kutoka kabila la Naftali walipokea Kedeshi katika Galilaya, Hamoni na Kiriathaimu pamoja na maeneo yake ya malisho.
77 לִבְנֵ֣י Kwa–wana–wa מְרָרִי֮ Merari הַנּוֹתָרִים֒ waliobaki מִמַּטֵּ֣ה kutoka–kabila–la זְבוּלֻ֔ן Zabuloni אֶת־ — רִמּוֹנ֖וֹ Rimono וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶׁ֑יהָ malisho–yake אֶת־ — תָּב֖וֹר Tabori וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶֽׁיהָ׃ malisho–yake
Wamerari (Walawi waliobakia) walipokea miji ifuatayo: kutoka kabila la Zabuloni walipokea Yokneamu, Karta, Rimoni na Tabori pamoja na maeneo yake ya malisho.
78 וּמֵעֵ֜בֶר Na–ng'ambo–ya לְיַרְדֵּ֣ן Yordani יְרֵחוֹ֮ ya–Yeriko לְמִזְרַ֣ח mashariki–ya הַיַּרְדֵּן֒ Yordani מִמַּטֵּ֣ה kutoka–kabila–la רְאוּבֵ֔ן Reubeni אֶת־ — בֶּ֥צֶר Beseri בַּמִּדְבָּ֖ר katika–jangwa וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶׁ֑יהָ malisho–yake וְאֶת־ na–— יַ֖הְצָה Yahsa וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶֽׁיהָ׃ malisho–yake
Kutoka kabila la Reubeni, ngʼambo ya Yordani mashariki mwa Yeriko walipokea Bezeri ulioko jangwani, Yahasa,
79 וְאֶת־ na–— קְדֵמוֹת֙ Kedemothi וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶׁ֔יהָ malisho–yake וְאֶת־ na–— מֵיפַ֖עַת Mefaathi וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶֽׁיהָ׃ malisho–yake
Kedemothi na Mefaathi pamoja na maeneo yake ya malisho.
80 וּמִ֨מַּטֵּה־ Na–kutoka–kabila–la– גָ֔ד Gadi אֶת־ — רָאמ֥וֹת Ramothi בַּגִּלְעָ֖ד huko–Gileadi וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶׁ֑יהָ malisho–yake וְאֶֽת־ na–— מַחֲנַ֖יִם Mahanaimu וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶֽׁיהָ׃ malisho–yake
Na kutoka kabila la Gadi walipokea Ramothi huko Gileadi, Mahanaimu,
81 וְאֶת־ na–— חֶשְׁבּוֹן֙ Heshboni וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶׁ֔יהָ malisho–yake וְאֶת־ na–— יַעְזֵ֖יר Yazeri וְאֶת־ na–— מִגְרָשֶֽׁיהָ׃ malisho–yake ס ¶
Heshboni na Yazeri, pamoja na maeneo yake ya malisho.