1 וּבִ֨נְיָמִ֔ן Na–Benyamini הוֹלִ֖יד alizaa אֶת־ — בֶּ֣לַע Bela בְּכֹר֑וֹ mzaliwa–wake–wa–kwanza אַשְׁבֵּל֙ Ashbeli הַשֵּׁנִ֔י wa–pili וְאַחְרַ֖ח na–Ahara הַשְּׁלִישִֽׁי׃ wa–tatu
Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
2 נוֹחָה֙ Noha הָֽרְבִיעִ֔י wa–nne וְרָפָ֖א na–Rafa הַחֲמִישִֽׁי׃ wa–tano ס ¶
Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
3 וַיִּהְי֥וּ Na–wakawa בָנִ֖ים wana לְבָ֑לַע kwa–Bela אַדָּ֥ר Adari וְגֵרָ֖א na–Gera וַאֲבִיהֽוּד׃ na–Abihudi
Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
4 וַאֲבִישׁ֥וּעַ Na–Abishua וְנַעֲמָ֖ן na–Naamani וַאֲחֽוֹחַ׃ na–Ahoa
Abishua, Naamani, Ahoa,
5 וְגֵרָ֥א Na–Gera וּשְׁפוּפָ֖ן na–Shefufani וְחוּרָֽם׃ na–Huramu
Gera, Shefufani na Huramu.
6 וְאֵ֖לֶּה Na–hawa בְּנֵ֣י wana–wa אֵח֑וּד Ehudi אֵ֣לֶּה hawa הֵ֞ם ndio רָאשֵׁ֤י viongozi–wa אָבוֹת֙ baba לְי֣וֹשְׁבֵי kwa–wakaaji–wa גֶ֔בַע Geba וַיַּגְל֖וּם na–wakawapeleka–uhamishoni אֶל־ kwenda– מָנָֽחַת׃ Manahathi
Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
7 וְנַעֲמָ֧ן Na–Naamani וַאֲחִיָּ֛ה na–Ahiya וְגֵרָ֖א na–Gera ה֣וּא yeye הֶגְלָ֑ם aliwapeleka–uhamishoni וְהוֹלִ֥יד na–akamzaa אֶת־ — עֻזָּ֖א Uza וְאֶת־ na–— אֲחִיחֻֽד׃ Ahihudi
Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
8 וְשַׁחֲרַ֗יִם Na–Shaharaimu הוֹלִיד֙ alizaa בִּשְׂדֵ֣ה katika–nchi–ya מוֹאָ֔ב Moabu מִן־ baada–ya– שִׁלְח֖וֹ kuwaachilia אֹתָ֑ם wao חוּשִׁ֥ים Hushimu וְאֶֽת־ na–— בַּעֲרָ֖א Baara נָשָֽׁיו׃ wake–zake
Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
9 וַיּ֖וֹלֶד Na–akazaa מִן־ kutoka–kwa– חֹ֣דֶשׁ Hodeshi אִשְׁתּ֑וֹ mke–wake אֶת־ — יוֹבָב֙ Yobabu וְאֶת־ na–— צִבְיָ֔א Sibia וְאֶת־ na–— מֵישָׁ֖א Mesha וְאֶת־ na–— מַלְכָּֽם׃ Malkamu
Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
10 וְאֶת־ na–— יְע֥וּץ Yeusi וְאֶת־ na–— שָֽׂכְיָ֖ה Sakia וְאֶת־ na–— מִרְמָ֑ה Mirma אֵ֥לֶּה hawa בָנָ֖יו wanawe רָאשֵׁ֥י viongozi–wa אָבֽוֹת׃ baba
Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
11 וּמֵחֻשִׁ֛ים Na–kutoka–kwa–Hushimu הוֹלִ֥יד alizaa אֶת־ — אֲבִיט֖וּב Abitubu וְאֶת־ na–— אֶלְפָּֽעַל׃ Elpaali
Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
12 וּבְנֵ֣י Na–wana–wa אֶלְפַּ֔עַל Elpaali עֵ֥בֶר Eberi וּמִשְׁעָ֖ם na–Mishamu וָשָׁ֑מֶד na–Shemedi ה֚וּא yeye בָּנָ֣ה alijenga אֶת־ — אוֹנ֔וֹ Ono וְאֶת־ na–— לֹ֖ד Lodi וּבְנֹתֶֽיהָ׃ na–vijiji–vyake
Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
13 וּבְרִעָ֣ה Na–Beria וָשֶׁ֔מַע na–Shema הֵ֚מָּה hawa רָאשֵׁ֣י viongozi–wa הָאָב֔וֹת baba לְיוֹשְׁבֵ֖י kwa–wakaaji–wa אַיָּל֑וֹן Aiyaloni הֵ֥מָּה wao הִבְרִ֖יחוּ waliwafukuza אֶת־ — י֥וֹשְׁבֵי wakaaji–wa גַֽת׃ Gathi
na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
14 וְאַחְי֥וֹ Na–Ahio שָׁשָׁ֖ק Shashaki וִירֵמֽוֹת׃ na–Yeremothi
Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
15 וּזְבַדְיָ֥ה Na–Zebadia וַעֲרָ֖ד na–Aradi וָעָֽדֶר׃ na–Ederi
Zebadia, Aradi, Ederi,
16 וּמִיכָאֵ֧ל Na–Mikaeli וְיִשְׁפָּ֛ה na–Ishpa וְיוֹחָ֖א na–Yoha בְּנֵ֥י wana–wa בְרִיעָֽה׃ Beria
Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
17 וּזְבַדְיָ֥ה Na–Zebadia וּמְשֻׁלָּ֖ם na–Meshulamu וְחִזְקִ֥י na–Hizki וָחָֽבֶר׃ na–Heberi
Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
18 וְיִשְׁמְרַ֧י Na–Ishmerai וְיִזְלִיאָ֛ה na–Izlia וְיוֹבָ֖ב na–Yobabu בְּנֵ֥י wana–wa אֶלְפָּֽעַל׃ Elpaali
Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
19 וְיָקִ֥ים Na–Yakimu וְזִכְרִ֖י na–Zikri וְזַבְדִּֽי׃ na–Zabdi
Yakimu, Zikri, Zabdi,
20 וֶאֱלִיעֵנַ֥י Na–Elienai וְצִלְּתַ֖י na–Silethai וֶאֱלִיאֵֽל׃ na–Elieli
Elienai, Silethai, Elieli,
21 וַעֲדָיָ֧ה Na–Adaya וּבְרָאיָ֛ה na–Beraya וְשִׁמְרָ֖ת na–Shimrathi בְּנֵ֥י wana–wa שִׁמְעִֽי׃ Shimei
Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
22 וְיִשְׁפָּ֥ן Na–Ishpani וָעֵ֖בֶר na–Eberi וֶאֱלִיאֵֽל׃ na–Elieli
Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
23 וְעַבְדּ֥וֹן Na–Abdoni וְזִכְרִ֖י na–Zikri וְחָנָֽן׃ na–Hanani
Abdoni, Zikri, Hanani,
24 וַחֲנַנְיָ֥ה Na–Hanania וְעֵילָ֖ם na–Elamu וְעַנְתֹתִיָּֽה׃ na–Anthothiya
Hanania, Elamu, Anthothiya,
25 וְיִפְדְיָ֥ה Na–Ifdeya [ופניאל] [na–Penieli] (וּפְנוּאֵ֖ל) (na–Penueli) בְּנֵ֥י wana–wa שָׁשָֽׁק׃ Shashaki
Ifdeya na Penueli.
26 וְשַׁמְשְׁרַ֥י Na–Shamsherai וּשְׁחַרְיָ֖ה na–Sheharia וַעֲתַלְיָֽה׃ na–Athalia
Shamsherai, Sheharia, Athalia,
27 וְיַעֲרֶשְׁיָ֧ה Na–Yaareshia וְאֵלִיָּ֛ה na–Eliya וְזִכְרִ֖י na–Zikri בְּנֵ֥י wana–wa יְרֹחָֽם׃ Yerohamu
Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
28 אֵ֣לֶּה Hawa רָאשֵׁ֥י viongozi–wa אָב֛וֹת baba לְתֹלְדוֹתָ֖ם kwa–vizazi–vyao רָאשִׁ֑ים wakuu אֵ֖לֶּה hawa יָשְׁב֥וּ walikaa בִירוּשָׁלִָֽם׃ huko–Yerusalemu ס ¶
Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
29 וּבְגִבְע֥וֹן Na–huko–Gibeoni יָשְׁב֖וּ alikaa אֲבִ֣י baba גִבְע֑וֹן wa–Gibeoni וְשֵׁ֥ם na–jina אִשְׁתּ֖וֹ la–mke–wake מַעֲכָֽה׃ Maaka
Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
30 וּבְנ֥וֹ Na–mwanawe הַבְּכ֖וֹר mzaliwa–wa–kwanza עַבְדּ֑וֹן Abdoni וְצ֥וּר na–Suri וְקִ֖ישׁ na–Kishi וּבַ֥עַל na–Baali וְנָדָֽב׃ na–Nadabu
Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
31 וּגְד֥וֹר Na–Gedori וְאַחְי֖וֹ na–Ahio וָזָֽכֶר׃ na–Zekeri
Gedori, Ahio, Zekeri,
32 וּמִקְל֖וֹת Na–Miklothi הוֹלִ֣יד alizaa אֶת־ — שִׁמְאָ֑ה Shimea וְאַף־ na–pia– הֵ֗מָּה wao נֶ֧גֶד kuwaelekea אֲחֵיהֶ֛ם ndugu–zao יָשְׁב֥וּ walikaa בִירוּשָׁלִַ֖ם huko–Yerusalemu עִם־ pamoja–na– אֲחֵיהֶֽם׃ ndugu–zao ס ¶
na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
33 וְנֵר֙ Na–Neri הוֹלִ֣יד alizaa אֶת־ — קִ֔ישׁ Kishi וְקִ֖ישׁ na–Kishi הוֹלִ֣יד alizaa אֶת־ — שָׁא֑וּל Shauli וְשָׁא֗וּל na–Shauli הוֹלִ֤יד alizaa אֶת־ — יְהֽוֹנָתָן֙ Yonathani וְאֶת־ na–— מַלְכִּי־שׁ֔וּעַ Malki-Shua וְאֶת־ na–— אֲבִֽינָדָ֖ב Abinadabu וְאֶת־ na–— אֶשְׁבָּֽעַל׃ Esh-Baali
Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
34 וּבֶן־ Na–mwana–wa– יְהוֹנָתָ֖ן Yonathani מְרִ֣יב בָּ֑עַל Merib-Baali וּמְרִ֥יב בַּ֖עַל na–Merib-Baali הוֹלִ֥יד alizaa אֶת־ — מִיכָֽה׃ Mika ס ¶
Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
35 וּבְנֵ֖י Na–wana–wa מִיכָ֑ה Mika פִּית֥וֹן Pithoni וָמֶ֖לֶךְ na–Meleki וְתַאְרֵ֥עַ na–Tarea וְאָחָֽז׃ na–Ahazi
Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
36 וְאָחָז֙ Na–Ahazi הוֹלִ֣יד alizaa אֶת־ — יְהוֹעַדָּ֔ה Yehoada וִיהֽוֹעַדָּ֗ה na–Yehoada הוֹלִ֛יד alizaa אֶת־ — עָלֶ֥מֶת Alemethi וְאֶת־ na–— עַזְמָ֖וֶת Azmawethi וְאֶת־ na–— זִמְרִ֑י Zimri וְזִמְרִ֖י na–Zimri הוֹלִ֥יד alizaa אֶת־ — מוֹצָֽא׃ Mosa
Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
37 וּמוֹצָ֖א Na–Mosa הוֹלִ֣יד alizaa אֶת־ — בִּנְעָ֑א Binea רָפָ֥ה Rafa בְנ֛וֹ mwanawe אֶלְעָשָׂ֥ה Eleasa בְנ֖וֹ mwanawe אָצֵ֥ל Aseli בְּנֽוֹ׃ mwanawe
Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
38 וּלְאָצֵל֮ Na–kwa–Aseli שִׁשָּׁ֣ה sita בָנִים֒ wana וְאֵ֣לֶּה na–haya שְׁמוֹתָ֗ם majina–yao עַזְרִיקָ֥ם ׀ Azrikamu בֹּ֙כְרוּ֙ Bokeru וְיִשְׁמָעֵ֣אל na–Ishmaeli וּשְׁעַרְיָ֔ה na–Shearia וְעֹבַדְיָ֖ה na–Obadia וְחָנָ֑ן na–Hanani כָּל־ wote– אֵ֖לֶּה hawa בְּנֵ֥י wana–wa אָצַֽל׃ Aseli
Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
39 וּבְנֵ֖י Na–wana–wa עֵ֣שֶׁק Esheki אָחִ֑יו ndugu–yake אוּלָ֣ם Ulamu בְּכֹר֔וֹ mzaliwa–wake–wa–kwanza יְעוּשׁ֙ Yeushi הַשֵּׁנִ֔י wa–pili וֶֽאֱלִיפֶ֖לֶט na–Elifeleti הַשְּׁלִשִֽׁי׃ wa–tatu
Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
40 וַֽיִּהְי֣וּ Na–wakawa בְנֵי־ wana–wa– א֠וּלָם Ulamu אֲנָשִׁ֨ים watu גִּבֹּרֵי־ mashujaa– חַ֜יִל wa–ushujaa דֹּ֣רְכֵי wapiga קֶ֗שֶׁת upinde וּמַרְבִּ֤ים na–wengi בָּנִים֙ wana וּבְנֵ֣י na–wana–wa בָנִ֔ים wana מֵאָ֖ה mia וַחֲמִשִּׁ֑ים na–hamsini כָּל־ wote– אֵ֖לֶּה hawa מִבְּנֵ֥י kutoka–wana–wa בִנְיָמִֽן׃ Benyamini פ ¶
Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.