1 זְב֣וּבֵי Nzi–wa מָ֔וֶת mauti יַבְאִ֥ישׁ huleta–uvundo יַבִּ֖יעַ na–uharibifu שֶׁ֣מֶן mafuta–ya רוֹקֵ֑חַ manukato יָקָ֛ר hivyo–huzidi מֵחָכְמָ֥ה hekima מִכָּב֖וֹד na–heshima סִכְל֥וּת upumbavu מְעָֽט׃ kidogo
Kama vile nzi waliokufa huacha harufu mbaya kwenye manukato, ndivyo upumbavu kidogo huzidi nguvu hekima na heshima.
2 לֵ֤ב Moyo–wa חָכָם֙ mwenye–hekima לִֽימִינ֔וֹ kulia–kwake וְלֵ֥ב lakini–moyo–wa כְּסִ֖יל mpumbavu לִשְׂמֹאלֽוֹ׃ kushoto–kwake
Moyo wa mwenye hekima huelekea kuume, lakini moyo wa mpumbavu huelekea kushoto.
3 וְגַם־ Na–hata בַּדֶּ֛רֶךְ njiani [כשהסכל] [mpumbavu] (כְּשֶׁסָּכָ֥ל) mpumbavu הֹלֵ֖ךְ anapotembea לִבּ֣וֹ moyo–wake חָסֵ֑ר unapunguka וְאָמַ֥ר na–anasema לַכֹּ֖ל kwa–wote סָכָ֥ל mpumbavu הֽוּא׃ yeye
Hata anapotembea barabarani, mpumbavu hukosa ufahamu na kudhihirisha kwa kila mmoja jinsi alivyo mpumbavu.
4 אִם־ Kama ר֤וּחַ roho–ya הַמּוֹשֵׁל֙ mtawala תַּעֲלֶ֣ה inapanda עָלֶ֔יךָ dhidi–yako מְקוֹמְךָ֖ mahali–pako אַל־ usiache תַּנַּ֑ח kuacha כִּ֣י kwa–maana מַרְפֵּ֔א utulivu יַנִּ֖יחַ hutuliza חֲטָאִ֥ים makosa גְּדוֹלִֽים׃ makubwa
Kama hasira ya mtawala ikiwaka dhidi yako, usiache mahali pako, utulivu huweza kuzuia makosa mengi.
5 יֵ֣שׁ Kuna רָעָ֔ה uovu רָאִ֖יתִי niliouona תַּ֣חַת chini–ya הַשָּׁ֑מֶשׁ jua כִּשְׁגָגָ֕ה kama–kosa שֶׁיֹּצָ֖א linalotoka מִלִּפְנֵ֥י mbele–ya הַשַּׁלִּֽיט׃ mtawala
Kuna ubaya niliouona chini ya jua, aina ya kosa litokalo kwa mtawala:
6 נִתַּ֣ן Amewekwa הַסֶּ֔כֶל ujinga בַּמְּרוֹמִ֖ים katika–nafasi–za–juu רַבִּ֑ים nyingi וַעֲשִׁירִ֖ים na–matajiri בַּשֵּׁ֥פֶל katika–nafasi–za–chini יֵשֵֽׁבוּ׃ wanakaa
Wapumbavu kuwekwa kwenye nafasi nyingi za juu, wakati matajiri hushika nafasi za chini.
7 רָאִ֥יתִי Nimewaona עֲבָדִ֖ים watumwa עַל־ juu–ya סוּסִ֑ים farasi וְשָׂרִ֛ים na–wakuu הֹלְכִ֥ים wakitembea כַּעֲבָדִ֖ים kama–watumwa עַל־ juu–ya הָאָֽרֶץ׃ nchi
Mimi nimeona watumwa wamepanda farasi, wakati wakuu wakitembea kwa miguu kama watumwa.
8 חֹפֵ֥ר Anayechimba גּוּמָּ֖ץ shimo בּ֣וֹ ndani–yake יִפּ֑וֹל ataanguka וּפֹרֵ֥ץ na–anayebomoa גָּדֵ֖ר ukuta יִשְּׁכֶ֥נּוּ ataumwa נָחָֽשׁ׃ nyoka
Yeye achimbaye shimo aweza kutumbukia ndani yake, yeyote abomoaye ukuta anaweza kuumwa na nyoka.
9 מַסִּ֣יעַ Anayeondoa אֲבָנִ֔ים mawe יֵעָצֵ֖ב atajeruhiwa בָּהֶ֑ם nayo בּוֹקֵ֥עַ na–anayekata עֵצִ֖ים magogo יִסָּ֥כֶן atahatarisha בָּֽם׃ nayo
Yeyote apasuaye mawe inawezekana yakamuumiza, yeyote apasuaye magogo inawezekana yakamuumiza.
10 אִם־ Kama קֵהָ֣ה imezimika הַבַּרְזֶ֗ל chuma וְהוּא֙ na–yeye לֹא־ hajanoa פָנִ֣ים kunoa קִלְקַ֔ל ncha וַחֲיָלִ֖ים nguvu–zaidi יְגַבֵּ֑ר zitahitajika וְיִתְר֥וֹן lakini–faida–ya הַכְשֵׁ֖ר(הכשיר*הַכְשֵׁ֖ר) mafanikio חָכְמָֽה׃ ni–hekima
Kama shoka ni butu na halikunolewa, nguvu nyingi zinahitajika, lakini ustadi utaleta mafanikio.
11 אִם־ Kama יִשֹּׁ֥ךְ akiuma הַנָּחָ֖שׁ nyoka בְּלוֹא־ bila לָ֑חַשׁ uchawi וְאֵ֣ין hakuna יִתְר֔וֹן faida לְבַ֖עַל kwa–mwenye הַלָּשֽׁוֹן׃ ulimi
Kama nyoka akiuma kabla ya kufanyiwa uaguzi, mwaguzi hatahitajika tena.
12 דִּבְרֵ֥י Maneno–ya פִי־ kinywa–cha חָכָ֖ם mwenye–hekima חֵ֑ן yana–neema וְשִׂפְת֥וֹת lakini–midomo–ya כְּסִ֖יל mpumbavu תְּבַלְּעֶֽנּוּ׃ inamzamisha
Maneno yatokayo kinywani mwa mtu mwenye hekima yana neema, bali mpumbavu huangamizwa na midomo yake mwenyewe.
13 תְּחִלַּ֥ת Mwanzo–wa דִּבְרֵי־ maneno–ya פִ֖יהוּ kinywa–chake סִכְל֑וּת ni–upumbavu וְאַחֲרִ֣ית na–mwisho–wa פִּ֔יהוּ kinywa–chake הוֹלֵל֖וּת ni–wazimu רָעָֽה׃ mbaya
Mwanzoni maneno yake ni upumbavu, mwishoni ni wazimu mbaya,
14 וְהַסָּכָ֖ל Na–mpumbavu יַרְבֶּ֣ה huongeza דְבָרִ֑ים maneno לֹא־ hajui יֵדַ֤ע kujua הָאָדָם֙ mwanadamu מַה־ kipi שֶׁיִּֽהְיֶ֔ה kitakachokuwa וַאֲשֶׁ֤ר na–kipi יִֽהְיֶה֙ kitakachokuwa מֵֽאַחֲרָ֔יו baada–yake מִ֖י nani יַגִּ֥יד atakayemwambia לֽוֹ׃ yeye
naye mpumbavu huzidisha maneno. Hakuna yeyote ajuaye linalokuja, ni nani awezaye kueleza ni jambo gani litakalotokea baada yake?
15 עֲמַ֥ל Kazi–ya הַכְּסִילִ֖ים wapumbavu תְּיַגְּעֶ֑נּוּ inawachosha אֲשֶׁ֥ר kwa–sababu לֹֽא־ hawajui יָדַ֖ע kujua לָלֶ֥כֶת kwenda אֶל־ kwenye עִֽיר׃ mji
Kazi ya mpumbavu humchosha mwenyewe, hajui njia iendayo mjini.
16 אִֽי־ Ole לָ֣ךְ wako אֶ֔רֶץ nchi שֶׁמַּלְכֵּ֖ךְ ambayo–mfalme–wako נָ֑עַר ni–mtoto וְשָׂרַ֖יִךְ na–wakuu–wako בַּבֹּ֥קֶר asubuhi יֹאכֵֽלוּ׃ wanakula
Ole wako, ee nchi ambayo mfalme wako alikuwa mtumwa na ambayo wakuu wako hufanya karamu asubuhi.
17 אַשְׁרֵ֣יךְ Heri אֶ֔רֶץ nchi שֶׁמַּלְכֵּ֖ךְ ambayo–mfalme–wako בֶּן־ ni–mwana–wa חוֹרִ֑ים wakuu וְשָׂרַ֙יִךְ֙ na–wakuu–wako בָּעֵ֣ת wakati–unaofaa יֹאכֵ֔לוּ wanakula בִּגְבוּרָ֖ה kwa–nguvu וְלֹ֥א na–si בַשְּׁתִֽי׃ kwa–ulevi
Heri wewe, ee nchi ambayo mfalme wako ni wa uzao wenye kuheshimika na ambayo wakuu wako hula chakula kwa wakati unaofaa: ili kupata nguvu na si kwa ajili ya ulevi.
18 בַּעֲצַלְתַּ֖יִם Kwa–uvivu יִמַּ֣ךְ huanguka הַמְּקָרֶ֑ה paa וּבְשִׁפְל֥וּת na–kwa–uzembe–wa יָדַ֖יִם mikono יִדְלֹ֥ף hudondoka הַבָּֽיִת׃ nyumba
Kama mtu ni mvivu paa la nyumba huinama, kutokana na mikono milegevu, nyumba huvuja.
19 לִשְׂחוֹק֙ Kwa–furaha עֹשִׂ֣ים wanafanya לֶ֔חֶם chakula וְיַ֖יִן na–divai יְשַׂמַּ֣ח hufurahisha חַיִּ֑ים maisha וְהַכֶּ֖סֶף na–fedha יַעֲנֶ֥ה hujibu אֶת־ — הַכֹּֽל׃ yote
Karamu hufanywa kwa ajili ya kicheko, nao mvinyo hufurahisha maisha, lakini fedha ni jawabu la mambo yote.
20 גַּ֣ם Hata בְּמַדָּֽעֲךָ֗ katika–mawazo–yako מֶ֚לֶךְ mfalme אַל־ usimlaani תְּקַלֵּ֔ל kumlaani וּבְחַדְרֵי֙ na–katika–vyumba–vya מִשְׁכָּ֣בְךָ֔ chumba–chako–cha–kulala אַל־ usimlaani תְּקַלֵּ֖ל kumlaani עָשִׁ֑יר tajiri כִּ֣י kwa–maana ע֤וֹף ndege–wa הַשָּׁמַ֙יִם֙ mbinguni יוֹלִ֣יךְ atabeba אֶת־ — הַקּ֔וֹל sauti וּבַ֥עַל na–mwenye [הכנפים] [mabawa] (כְּנָפַ֖יִם) mabawa יַגֵּ֥יד ataarifu דָּבָֽר׃ jambo
Usimshutumu mfalme hata ikiwa ni katika mawazo yako, au kumlaani tajiri katika chumba chako cha kulala, kwa sababu ndege wa angani wanaweza kuchukua maneno yako, naye ndege anayeruka anaweza kutoa taarifa ya yale uliyosema.