1 Εἶπεν Alisema δὲ na πρὸς kwa τοὺς wa– μαθητὰς wanafunzi αὐτοῦ, wake Ἀνένδεκτόν Haiwezekani ἐστιν ni τοῦ ya– τὰ ya– σκάνδαλα vikwazo μὴ visi ἐλθεῖν, kuja πλὴν lakini οὐαὶ ole δι’ kwa–sababu–ya οὗ yeye ἔρχεται! vinakuja
Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Mambo yanayosababisha watu watende dhambi hayana budi kutukia. Lakini ole wake mtu yule anayeyasababisha.
2 λυσιτελεῖ ni–afadhali αὐτῷ kwake εἰ kama λίθος jiwe μυλικὸς la–kusagia περίκειται limefungwa περὶ kwenye τὸν ya– τράχηλον shingo αὐτοῦ, yake καὶ na ἔρριπται kutupwa εἰς katika τὴν ya– θάλασσαν, bahari ἢ kuliko ἵνα ili σκανδαλίσῃ amkwaze τῶν wa– μικρῶν wadogo τούτων hawa ἕνα. mmoja
Ingekuwa heri kama mtu huyo angefungiwa jiwe la kusagia shingoni na kutoswa baharini, kuliko kumsababisha mmojawapo wa hawa wadogo kutenda dhambi.
3 προσέχετε jiangalieni ἑαυτοῖς: wenyewe ἐὰν kama ἁμάρτῃ akikosa ὁ yule ἀδελφός ndugu σου, yako ἐπιτίμησον mkemee αὐτῷ; yeye καὶ na ἐὰν kama μετανοήσῃ, akitubu ἄφες msamehe αὐτῷ. yeye
Kwa hiyo, jilindeni. “Kama ndugu yako akikukosea mwonye, naye akitubu, msamehe.
4 καὶ na ἐὰν kama ἑπτάκις mara–saba τῆς ya– ἡμέρας siku ἁμαρτήσῃ akikukosea εἰς kwako σὲ, wewe καὶ na ἑπτάκις mara–saba ἐπιστρέψῃ akirudi πρὸς kwako σὲ, wewe λέγων akisema Μετανοῶ, Ninatubu ἀφήσεις utamsamehe αὐτῷ. yeye
Kama akikukosea mara saba kwa siku moja na mara saba kwa siku moja akaja kwako akisema, ‘Ninatubu,’ msamehe.”
5 Καὶ Na εἶπαν walisema οἱ wa– ἀπόστολοι mitume τῷ kwa–yule Κυρίῳ, Bwana Πρόσθες Tuongezee ἡμῖν sisi πίστιν! imani
Mitume wake wakamwambia Bwana, “Tuongezee imani.”
6 εἶπεν alisema δὲ na ὁ yule Κύριος, Bwana Εἰ Kama ἔχετε mngekuwa–na πίστιν, imani ὡς kama κόκκον punje σινάπεως, ya–haradali ἐλέγετε mngesema ἂν kwa τῇ kwa–hii συκαμίνῳ mkuyu ταύτῃ, hii Ἐκριζώθητι, Ng’olewa καὶ na φυτεύθητι pandwa ἐν katika τῇ ya– θαλάσσῃ, bahari καὶ na ὑπήκουσεν ungetii ἂν kwa ὑμῖν. ninyi
Bwana akawajibu, “Kama mkiwa na imani ndogo kama punje ya haradali, mngeweza kuuambia mti huu wa mkuyu, ‘Ngʼoka ukaote baharini,’ nao ungewatii.
7 Τίς Nani δὲ lakini ἐξ miongoni–mwenu ὑμῶν ninyi δοῦλον mtumwa ἔχων, mwenye ἀροτριῶντα akilima ἢ au ποιμαίνοντα, akichunga ὃς ambaye εἰσελθόντι akiingia ἐκ kutoka τοῦ ya– ἀγροῦ, shamba ἐρεῖ atasema αὐτῷ kwake Εὐθέως, Mara–moja παρελθὼν ukienda ἀνάπεσε? kaa
“Ikiwa mmoja wenu ana mtumishi anayelima shambani au anayechunga kondoo, je, mtumishi huyo arudipo atamwambia, ‘Karibu hapa keti ule chakula?’
8 ἀλλ’ lakini οὐχὶ si ἐρεῖ atasema αὐτῷ, kwake Ἑτοίμασον Andaa τί kitu δειπνήσω, nitakachokula καὶ na περιζωσάμενος, ukijifunga διακόνει nitumikia μοι, mimi ἕως mpaka φάγω nile καὶ na πίω; ninywe καὶ na μετὰ baada–ya ταῦτα haya φάγεσαι utakula καὶ na πίεσαι utakunywa σύ? wewe
Je, badala yake, hatamwambia, ‘Niandalie chakula, nile, jifunge unitumikie ninapokula na kunywa; baadaye waweza kula na kunywa?’
9 μὴ je ἔχει ana χάριν shukrani τῷ kwa–yule δούλῳ, mtumwa ὅτι kwa–sababu ἐποίησεν alifanya τὰ ya– διαταχθέντα? yaliyoagizwa
Je, huyo mtu atamshukuru mtumishi huyo kwa kutimiza yale aliyoamriwa?
10 οὕτως vivyo–hivyo καὶ pia ὑμεῖς, ninyi ὅταν mtakapofanya ποιήσητε mkifanya πάντα yote τὰ ya– διαταχθέντα yaliyoagizwa ὑμῖν, ninyi λέγετε, semeni ὅτι kwamba Δοῦλοι Watumwa ἀχρεῖοί wasio–na–faida ἐσμεν, sisi–ni ὃ kile ὠφείλομεν tulipaswa ποιῆσαι kufanya πεποιήκαμεν. tumefanya
Vivyo hivyo nanyi mkiisha kufanya mliyoagizwa, semeni, ‘Sisi tu watumishi tusiostahili; tumefanya tu yale tuliyopaswa kufanya.’ ”
11 Καὶ Na ἐγένετο ikawa ἐν katika τῷ ya– πορεύεσθαι kwenda εἰς kwenda Ἰερουσαλὴμ, Yerusalemu καὶ na αὐτὸς yeye διήρχετο alipita διὰ kupitia μέσον katikati–ya Σαμαρείας Samaria καὶ na Γαλιλαίας. Galilaya
Yesu alipokuwa njiani akienda Yerusalemu, alipitia mpakani mwa Samaria na Galilaya.
12 καὶ na εἰσερχομένου akiingia αὐτοῦ yeye εἴς katika τινα fulani κώμην, kijiji ἀπήντησαν walikutana–naye [αὐτῷ] yeye δέκα kumi λεπροὶ, wenye–ukoma ἄνδρες wanaume οἳ ambao ἔστησαν walisimama πόρρωθεν. mbali
Alipokuwa akiingia kwenye kijiji kimoja, watu kumi waliokuwa na ukoma wakakutana naye. Wakasimama mbali,
13 καὶ na αὐτοὶ wao ἦραν waliinua φωνὴν, sauti λέγοντες, wakisema Ἰησοῦ. Yesu Ἐπιστάτα, Bwana ἐλέησον tuhurumie ἡμᾶς. sisi
wakapaza sauti, wakasema, “Yesu, Bwana, tuhurumie!”
14 καὶ na ἰδὼν, akiona εἶπεν alisema αὐτοῖς, kwao Πορευθέντες, Nendeni ἐπιδείξατε jionyesheni ἑαυτοὺς wenyewe τοῖς kwa–wa– ἱερεῦσιν. makuhani καὶ na ἐγένετο ikawa ἐν katika τῷ ya– ὑπάγειν kwenda αὐτοὺς, wao ἐκαθαρίσθησαν. walitakaswa
Alipowaona akawaambia, “Nendeni mkajionyeshe kwa makuhani.” Nao walipokuwa njiani wakienda, wakatakasika.
15 εἷς mmoja δὲ lakini ἐξ miongoni–mwao αὐτῶν, wao ἰδὼν akiona ὅτι kwamba ἰάθη, aliponywa ὑπέστρεψεν, alirudi μετὰ kwa φωνῆς sauti μεγάλης; kubwa δοξάζων akimtukuza τὸν yule Θεόν, Mungu
Mmoja wao alipoona kwamba amepona, akarudi kwa Yesu, akimsifu Mungu kwa sauti kuu.
16 καὶ na ἔπεσεν alianguka ἐπὶ juu–ya πρόσωπον, uso παρὰ karibu–na τοὺς ya– πόδας miguu αὐτοῦ, yake εὐχαριστῶν akimshukuru αὐτῷ; yeye καὶ na αὐτὸς yeye ἦν alikuwa Σαμαρίτης. Msamaria
Akajitupa miguuni mwa Yesu akamshukuru. Yeye alikuwa Msamaria.
17 ἀποκριθεὶς akijibu δὲ, lakini ὁ yule Ἰησοῦς Yesu εἶπεν, alisema Οὐχὶ Si οἱ wa– δέκα kumi ἐκαθαρίσθησαν? walitakaswa οἱ wa– δὲ lakini ἐννέα tisa ποῦ? wako–wapi
Yesu akauliza, “Je, hawakutakaswa wote kumi? Wako wapi wale wengine tisa?
18 οὐχ si εὑρέθησαν walipatikana ὑποστρέψαντες waliorudi δοῦναι kutoa δόξαν utukufu τῷ kwa–yule Θεῷ, Mungu εἰ isipokuwa μὴ tu ὁ yule ἀλλογενὴς mgeni οὗτος? huyu
Hakuna hata mmoja aliyeonekana kurudi ili kumshukuru Mungu isipokuwa huyu mgeni?”
19 καὶ na εἶπεν alisema αὐτῷ, kwake Ἀναστὰς Simama πορεύου; nenda ἡ ya– πίστις imani σου yako σέσωκέν imekuponya σε! wewe
Yesu akamwambia, “Inuka na uende zako, imani yako imekuponya.”
20 Ἐπερωτηθεὶς Akiulizwa δὲ na ὑπὸ na τῶν ya– Φαρισαίων, Mafarisayo πότε lini ἔρχεται unakuja ἡ ya– βασιλεία ufalme τοῦ wa– Θεοῦ, Mungu ἀπεκρίθη aliwajibu αὐτοῖς wao καὶ na εἶπεν, alisema Οὐκ Hauji ἔρχεται unakuja ἡ ya– βασιλεία ufalme τοῦ wa– Θεοῦ Mungu μετὰ kwa παρατηρήσεως; kuangalia
Yesu alipoulizwa na Mafarisayo Ufalme wa Mungu utakuja lini, yeye akawajibu, “Ufalme wa Mungu hauji kwa kuchunguza kwa bidii,
21 οὐδὲ wala ἐροῦσιν, watasema Ἰδοὺ Tazama ὧδε, hapa ἤ au Ἐκεῖ; Huko ἰδοὺ tazama γὰρ, kwa–maana ἡ ya– βασιλεία ufalme τοῦ wa– Θεοῦ Mungu ἐντὸς ndani–yenu ὑμῶν ninyi ἐστιν. ni
wala watu hawatasema, ‘Huu hapa,’ au ‘Ule kule,’ kwa maana Ufalme wa Mungu umo ndani yenu.”
22 Εἶπεν Alisema δὲ na πρὸς kwa τοὺς wa– μαθητάς, wanafunzi Ἐλεύσονται Zitakuja ἡμέραι, siku ὅτε wakati ἐπιθυμήσετε mtakapotamani μίαν moja τῶν ya– ἡμερῶν siku τοῦ za– Υἱοῦ Mwana τοῦ wa– ἀνθρώπου mwanadamu ἰδεῖν, kuona καὶ na οὐκ hamtaona ὄψεσθε. mtaona
Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Wakati utafika ambapo mtatamani kuiona moja ya siku ya Mwana wa Adamu, lakini hamtaiona.
23 καὶ na ἐροῦσιν watasema ὑμῖν, kwenu Ἰδοὺ Tazama ἐκεῖ; huko [ἤ] au Ἰδοὺ Tazama ὧδε. hapa μὴ msiende ἀπέλθητε mwende μηδὲ wala διώξητε. msifuate
Watu watawaambia, ‘Yule kule!’ Au, ‘Huyu hapa!’ Msiwakimbilie.
24 ὥσπερ kama–vile γὰρ kwa–maana ἡ ya– ἀστραπὴ umeme ἀστράπτουσα unaomulika ἐκ kutoka τῆς ya– ὑπὸ chini–ya τὸν ya– οὐρανὸν mbingu εἰς hadi τὴν ya– ὑπ’ chini–ya οὐρανὸν mbingu λάμπει, unaangaza οὕτως vivyo–hivyo ἔσται atakuwa ὁ yule Υἱὸς Mwana τοῦ wa– ἀνθρώπου mwanadamu ἐν katika τῇ ya– ἡμέρᾳ siku αὐτοῦ. yake
Kwa maana kama vile umeme wa radi umulikavyo katika anga kuanzia mwisho mmoja hadi mwingine, ndivyo atakavyokuwa Mwana wa Adamu katika siku yake.
25 πρῶτον kwanza δὲ lakini δεῖ lazima αὐτὸν yeye πολλὰ mengi παθεῖν, ateseke καὶ na ἀποδοκιμασθῆναι kukataliwa ἀπὸ na τῆς ya– γενεᾶς kizazi ταύτης. hiki
Lakini kwanza itampasa kuteseka katika mambo mengi na kukataliwa na kizazi hiki.
26 καὶ na καθὼς kama–vile ἐγένετο ilivyokuwa ἐν katika ταῖς za– ἡμέραις siku Νῶε, Nuhu οὕτως vivyo–hivyo ἔσται itakuwa καὶ pia ἐν katika ταῖς za– ἡμέραις siku τοῦ za– Υἱοῦ Mwana τοῦ wa– ἀνθρώπου. mwanadamu
“Kama ilivyokuwa siku za Noa, ndivyo itakavyokuwa katika siku za Mwana wa Adamu.
27 ἤσθιον, walikula ἔπινον, walinywa ἐγάμουν, walioa ἐγαμίζοντο, waliozwa ἄχρι mpaka ἧς ya– ἡμέρας siku εἰσῆλθεν aliingia Νῶε Nuhu εἰς katika τὴν ya– κιβωτόν, safina καὶ na ἦλθεν ulikuja ὁ yule κατακλυσμὸς gharika καὶ na ἀπώλεσεν iliwaangamiza πάντας. wote
Watu walikuwa wakila na kunywa, wakioa na kuolewa, mpaka siku ile Noa alipoingia katika safina. Ndipo gharika ikaja na kuwaangamiza wote.
28 ὁμοίως, vivyo–hivyo καθὼς kama–vile ἐγένετο ilivyokuwa ἐν katika ταῖς za– ἡμέραις siku Λώτ; Lutu ἤσθιον, walikula ἔπινον, walinywa ἠγόραζον, walinunua ἐπώλουν, waliuza ἐφύτευον, walipanda ᾠκοδόμουν; walijenga
“Ndivyo ilivyokuwa katika siku za Loti: Watu walikuwa wakila na kunywa, wakinunua na kuuza, wakilima na kujenga.
29 ᾗ ya– δὲ lakini ἡμέρᾳ siku ἐξῆλθεν alitoka Λὼτ Lutu ἀπὸ kutoka Σοδόμων, Sodoma ἔβρεξεν ilinyesha πῦρ moto καὶ na θεῖον kiberiti ἀπ’ kutoka οὐρανοῦ mbinguni καὶ na ἀπώλεσεν iliwaangamiza πάντας. wote
Lakini siku ile Loti alipoondoka Sodoma, ikanyesha mvua ya moto na kiberiti kutoka mbinguni ukawaangamiza wote.
30 κατὰ kulingana–na τὰ ya– αὐτὰ hayo ἔσται itakuwa ᾗ ya– ἡμέρᾳ siku ὁ yule Υἱὸς Mwana τοῦ wa– ἀνθρώπου mwanadamu ἀποκαλύπτεται. atafunuliwa
“Hivyo ndivyo itakavyokuwa siku ile Mwana wa Adamu atakapofunuliwa.
31 ἐν katika ἐκείνῃ ile τῇ ya– ἡμέρᾳ, siku ὃς yeye ἔσται atakayekuwa ἐπὶ juu–ya τοῦ ya– δώματος, paa καὶ na τὰ ya– σκεύη vyombo αὐτοῦ vyake ἐν katika τῇ ya– οἰκίᾳ, nyumba μὴ asishuke καταβάτω ashuke ἆραι kuvichukua αὐτά; hivyo καὶ na ὁ yule ἐν katika ἀγρῷ, shamba ὁμοίως vivyo–hivyo μὴ asirudi ἐπιστρεψάτω arudi εἰς kwa τὰ za– ὀπίσω. nyuma
Siku hiyo, mtu yeyote aliye juu ya dari ya nyumba yake, hata vitu vyake vikiwa ndani ya hiyo nyumba, asishuke kuvichukua. Vivyo hivyo mtu aliye shambani asirudi nyumbani kuchukua chochote.
32 μνημονεύετε mkumbukeni τῆς ya– γυναικὸς mke Λώτ. Lutu
Mkumbukeni mke wa Loti!
33 ὃς yeyote ἐὰν kama ζητήσῃ akitafuta τὴν ya– ψυχὴν nafsi αὐτοῦ yake περιποιήσασθαι, kuihifadhi ἀπολέσει ataipoteza αὐτήν; yake ὃς yeyote δ’ lakini ἂν kwa ἀπολέσῃ, akiipoteza ζωογονήσει ataihifadhi αὐτήν. yake
Mtu yeyote anayejaribu kuyaokoa maisha yake atayapoteza, na yeyote atakayeyapoteza maisha yake atayaokoa.
34 λέγω nawaambia ὑμῖν, ninyi ταύτῃ usiku τῇ ya– νυκτὶ usiku ἔσονται watakuwepo δύο wawili ἐπὶ juu–ya κλίνης kitanda μιᾶς; kimoja ὁ yule εἷς mmoja παραλημφθήσεται, atachukuliwa καὶ na ὁ yule ἕτερος mwingine ἀφεθήσεται. ataachwa
Nawaambia, usiku huo watu wawili watakuwa wamelala kitanda kimoja; naye mmoja atatwaliwa na mwingine ataachwa.
35 ἔσονται watakuwepo δύο wawili ἀλήθουσαι wakisaga ἐπὶ juu–ya τὸ ya– αὐτό; pamoja ἡ ya– μία mmoja παραλημφθήσεται, atachukuliwa ἡ ya– δὲ na ἑτέρα mwingine ἀφεθήσεται. ataachwa
Wanawake wawili watakuwa wanasaga nafaka pamoja; naye mmoja atatwaliwa na mwingine ataachwa. [
36 {δύο wawili ἔσονται watakuwepo ἐν katika τῷ ya– ἀγρῷ; shamba ὁ yule εἷς mmoja παραληφθήσεται, atachukuliwa καὶ na ὁ yule ἕτερος mwingine ἀφεθήσεται}. ataachwa
Wanaume wawili watakuwa wanafanya kazi pamoja shambani; mmoja atachukuliwa na mwingine ataachwa.]”
37 καὶ na ἀποκριθέντες, wakijibu λέγουσιν wanasema αὐτῷ, kwake Ποῦ, Wapi Κύριε? Bwana ὁ yule δὲ na εἶπεν alisema αὐτοῖς, kwao Ὅπου Mahali τὸ ya– σῶμα, mwili ἐκεῖ huko καὶ pia οἱ wa– ἀετοὶ tai ἐπισυναχθήσονται. watakusanyika
Kisha wakamuuliza, “Haya yatatukia wapi Bwana?” Akawaambia, “Pale ulipo mzoga, huko ndiko tai watakapokusanyika.”